Karamu Mbinguni

Karamu Mbinguni - Paperback

$21.58
Sale price  $21.58 Regular price 
Skip to product information
Karamu Mbinguni

Karamu Mbinguni - Paperback

by Njiru Kimunyi
$21.58
Sale price  $21.58 Regular price 

Book Overview

Kutokana na sifa zao njema kwake Mwenyezi Mungu, ndege wamepata mwaliko wa kutalii mbinguni. Wamepewa uwezo wa kuyabadilisha maumbile yao vile wanavyotaka. Katika kufanya hivi, wengine kama Bundi wanaongozwa na nia mbaya. Mzee Kobe naye anadanganya kuwa ukoo wake ulitokana na ndege. Kwa wale wenye nia safi, karamu ya mbinguni inaishia kuwa furaha isiyo kimo. Wenye nia mbaya nao wanaupata mshahara wa vitendo vyao. Chongameno ni kijana mchungaji aliyejaaliwa haiba ya mwili na roho. Alice ni msichana aliyezaliwa katika mali na anasa. Lakini pendo halitambui tabaka, na Alice anampenda Chongameno. Juhudi za kulitoroka pendo hili zinaishia katika balaa kwa wote wawili. Hii ni hadithi iliyofumwa kitaalamu na mmoja wa waandishi walioheshimika sana katika Afrika ya Mashariki.

ISBN9789966472342
Author Njiru Kimunyi
PublisherPhoenix Publishers
GenreYoung adult
FormatPaperback
PublishedJuly 2022
LanguageENG- English
Pages56
Weight1.0 lb
Target AudienceTeens & young adults and Adults
Print SizeStandard Print

1% fer Each of the Seven Seas

Every purchase sends 7% of our profits to The Ocean Cleanup. No fine print, no opt-in — just how we sail.

Whoever Ye Be, Welcome Aboard

Queer lit, music, art, philosophy, fiction — stories for every kind of soul. Come as ye are, matey.

You may also like